Lugha ya Kichina inaendelea kupata umaarufu katika nchi na sehemu mbalimbali duniani, na vijana wengi wanapenda kujifunza lugha hii kwani imekuwa ni daraja la kuunganisha tamaduni za nchi mbalimbali.
Miriam Wambui, binti wa miaka 13, anazungumza lugha hii ya Kichina kwa kujiamini sana kama...