Mwalimu wa shule ya msingi huko mkoani Kigoma afariki baada ya kuumwa na nyuki...
Jirani na kwake kuna mwembe watoto walipotoka shule wakarusha mawe na kupelekea nyuki kutoka na kumvamia mwalimu huyo.
Chanzo: BBC
Hivi nyuki wakikuvamia unatakiwa ufanyeje kuepusha madhara? Kifo hiki ni cha...