kujipendekeza kwa rais

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Waufukweni

    Pre GE2025 Mchekeshaji Said Said atumia Milioni 7 kutengeneza bango na kuweka picha akiwa na Rais Samia barabarani, kusambaza majiji yoye

    Mchekeshaji Said Said, aliyepiga picha na Rais Samia wakati wa usiku wa Tuzo za Wachekeshaji (Tanzania Comedy Awards), ameweka mabango ya picha hiyo katika maeneo mbalimbali nchini, ikiwemo Dodoma. Akiweka wazi gharama alizotumia, Said amesema ametumia zaidi ya TSh milioni 7 kutengeneza na...
  2. Waufukweni

    Pre GE2025 Mwana FA na wana Muheza wamzawadia Rais Samia Ng'ombe 10 na vifurushi vya Hiriki, Mdarasini, Pilipili Manga kwa ajili ya kuogea

    Huko Tanga ni mashindano tu yakutoa zawadi kwa Rais Samia == Mbunge wa Muheza, Hamis Mwinjuma maarufu kama Mwana FA, pamoja na wananchi wa Muheza, wamemzawadia Rais Samia Suluhu Hassan Ng’ombe 10 pamoja na vifurushi vya viungo vya asili vya hiriki, mdarasini na pilipili manga. Kupata taarifa...
  3. Waufukweni

    Pre GE2025 Wazee na viongozi wa Pangani wamzawadia Rais Samia Ng'ombe 5, Nazi na zawadi nyingine

    Waziri wa Maji, Jumaa Aweso akiwasilisha zawadi mbalimbali kutoka kwa Wazee na viongozi wa Pangani walizotoa kwa Rais Samia ikiwa ni pamoja na Ng'ombe 5, Nazi na zawadi zingine tofauti. Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala...
Back
Top Bottom