Picha: Pinterest
Tangu umekua na kujitambua kila mtu unayekutana naye huuliza una kazi, una nyumba au umeoa au utaoa/ kuolewa lini.
Maskini hukuna anayewahi kukuambia ikiwa una furaha au laaa!!!
Maisha si kama mlolongo wa kununua nyanya na mbogamboga sokoni.
Tambua kuwa wale wanao ziona...
Wana MMU,
Wengi tukisalimiana unaambiwa good moorning, unajibu tu kukamilisha salamu. Unaulizwa unaendeaje na hali unajibu fasta tu salama wakati ukweli ni kwamba unakaribia ku give up, maisha yako yameshikiliwa na ki uzi chembamba tu kiasi kwamba upepo ukipiga kidogo tu umekwenda.
Wengine...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.