kukabiliana na majanga

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Nashauri kuwe na mafunzo ya vitendo kwa jamii ili kukabiliana na majanga mbalimbali yanayotokea katika jamii sio tutegemee vitengo vya uokozi pekee

    Nashauri kuwe na masomo ya vitendo maalumu kwa jamii pia kwaajili ya kujiandaa na kukabiliana na majanga mbalimbali kama vile moto, mafuriko, matetemeko ya ardhi n.k kwa mara nyingi masomo ya vitendo vya kukabiliana na majanga pamoja na vifaa vya uokozi huwa vinatolewa kwa asilimia kubwa...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…