kukamata wapinzani

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Q

    Pre GE2025 Je, chini ya utawala wa Rais Samia ndio imevunjwa rekodi ya kukamatwa wapinzani wengi wa kisiasa zaidi ya 500 kwa siku moja?

    Rais wa kwanza wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mwalimu Nyerere hakuwahi kukamata wapinzani wake kisiasa kina Kambona kwa kiasi kikubwa kama hicho. Si Mwinyi wala Mkapa wala Kikwete wala Magufuli combined waliwahi kukamata na kuwaweka mahabusu wapinzani wao wakiwemo viongozi wao wakuu kwa...
  2. Ushauri wangu juu ya utulivu wa vijana kwa serikali ya Tanzania

    Maoni yangu tu kwa serikali na nchi yangu pendwa Tanzania. Kumekua na Sintofahamu kubwa sana haswa kwa vijana wanaokesha mitandaoni, au watanzania wanaotumia mitandao. Kuna uhuru mkubwa sana wa Mitandao sasa, ambao ni safi kabisa. Ila siintofahamu zimekua nyingi saana. Leo huyu kakamatwa...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…