kukamatwa kwa bavicha mbeya

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Suley2019

    Pre GE2025 Tundu Lissu: Nafungua kesi ya kupigwa bila sababu

    “Naenda Mahakamani kufungua kesi kwanza ya kuvunjiwa mkutano wetu bila sababu, pili Viongozi na Wanachama wetu kupigwa bila sababu, tatu kukamatwa bila sababu, nne kufungwa bila sababu, tano uharibifu wa mali na mengine ambayo Wanasheria watapendekeza” “Na tumesema tunamshtaki Shosti Nyahoza...
  2. Erythrocyte

    Freeman Mbowe kuongea na Waandishi wa Habari Makao Makuu ya Chama Mikocheni, Dar es Salaam

    Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe, atazungumza na Dunia kupitia Mkutano na Waandishi wa Habari utakaofanyika 14/08/2024 kwenye ofisi za Makao Makuu ya Chama hicho Mikocheni, Dar es Salaam. Miongoni mwa watakaohudhuria mkutano huo ni Mabalozi kadhaa wanaowakilisha Nchi zao Nchini Tanzania...
  3. T

    Pre GE2025 Je, Kamata kamata bila haki na kuweka ndani watu haivurugi Amani kweli?

    Tukio la kamatakamta la CHADEMA limetikisa nchi na kumchafua mama. Watu wameingiwa na hofu kuhusu uchaguzi ujao, je tufanye nini sasa? Polisi lazima waangalie upya utendaji wao, wafanye kazi kwa weredi vinginevyo kwa tabia ya watanzania wanachukizwa sana na upendeleo wa chama kimoja. Hii ni...
  4. Cute Wife

    Pre GE2025 Polisi yatoa taarifa ya kukamatwa kwa viongozi na wafuasi wa CHADEMA, wawataka kufuata sheria

    TAARIFA KWA UMMA 12 Agosti, 2024 Jeshi la Polisi linapenda kutoa taarifa kwa umma kufuatia katazo na kupiga marufuku kongamano la vijana wa CHADEMA lililokuwa limepangwa kufanyika katika uwanja wa Ruanda Nzovwe Jijini Mbeya siku ya jumatatu Agosti 12, 2024 kwa mwamvuli wa kuadhimisha siku ya...
  5. Erythrocyte

    Pre GE2025 Umaarufu wa CHADEMA waongezeka mara dufu, Vyombo vya habari vya Kimataifa vyaripoti kushikiliwa viongozi wao

    Taarifa kamili hii hapa --- Tanzania clamps down on opposition rally, arrests leaders Former presidential candidate Tundu Lissu and at least 500 youth supporters among those detained. Police in Tanzania have detained opposition leaders and rounded up several hundred supporters as they halted a...
  6. B

    Pre GE2025 Kinachoendelea Mbeya kamatakamata ya viongozi wa CHADEMA ni msiba kwa spika Tulia Akson na CCM

    Kuwakamata viongozi wa chama kikuu cha ushindani CHADEMA mkoani Mbeya kinaweka rehani ubunge wa Mbunge wa Mbeya ambaye pia ni Spika wa Bunge la Jamhuri wa Muungano wa Tanzania na Chama chake cha Mapinduzi (CCM) Hatua hiyo inakipa umaarufu chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Kiki na...
Back
Top Bottom