kukata umeme usiku

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. pharao

    KERO TANESCO, Mbagala mnatuunguzia vitu kwa kukata umeme na kurudisha ghafla

    Mimi ni mkazi wa Mbagala, Mbande, na kwa kweli hali ya umeme katika maeneo haya ni ya kutisha. Maeneo yote yanayozunguka Chamanzi, Mbande, na Kisewe yanakumbwa na matatizo makubwa yanayohusiana na huduma ya umeme kutoka Tanesco. Katika kipindi cha wiki mbili zilizopita, taa sita ndani ya nyumba...
  2. K

    TANESCO Tanga mjini kwa nini mnakata umeme majira ya mpira michuano EURO 2024?

    TANESCO Tanga mjini mmeanza hujuma kukata umeme kipindi cha michuano ya mpira EURO 2024 ili watu waende kwenye kumbi za mipira wasiangalizie majumbani kwao, waathirika wakubwa ni Makorora, Msambweni, Mikanjuni na maeneo mengine. Baadhi ya wafanyakazi wa TANESCO Tanga siyo waaminifu huenda...
Back
Top Bottom