kukatika huduma ya maji

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. A

    KERO Kukatika maji hovyo Nyamanoro, Ghana na Kona ya Bwiru-Mwanza

    Kuna kukatika maji haya maeneo wiki nzima kwa sasa na hakuna taarifa maalum kwa wateja kutoka Mwauwasa,kuna mdau yoyote anajua kinachoendelea? Kilichopo ni kwamba unaweza stuka ghafla maji hamna na hujahifadhi. Nafikiri kama kuna changamoto taarifa ziwekwe wazi na ratiba ifahamike ili kila mtu...
  2. M

    KERO Stendi ya Mbezi Magufuli hakuna maji siku ya pili leo

    Stendi ya Mbezi Magufuli leo siku ya pili hakuna huduma ya maji, hali si hali kwani abiria wanapata tabu, na watu wanaofanya shughuli zao humu ndani na nje ya stendi kadhalika. Hali imekuwa mbaya kiasi cha watu kuambiwa wajisaidie haja ndogo tu na si haja kubwa kutokana na kukosekana maji licha...
Back
Top Bottom