kukatika kwa maji

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. maroon7

    Baada ya DAWASA kukiwasha, sasa Tanesco nao wameanza kubip

    Baada ya DAWASA kuamua kutotoa huduma ya maji kwa muda mrefu ambapo kwa baadhi ya maeneo tayari maji hayajatoka kwa zaidi ya miezi miwili na hamna aliewajibishwa kwa hili wala kiongozi wa serikali aliekemea, Tanesco nao wameanza kuonesha umuhimu wao kwa kuzima umeme mida ya jioni mara kadhaa na...
  2. Man from cuba

    KERO Idara ya maji Kahama(KUWASA) hiki mnachotufanyia wakazi Nyasubi sio haki

    Naandika kwa masikitiko makubwa sana Leo ikiwa ni siku ya tatu maji hayatoki . Hakuna taarifa yoyote ya katazo la maji kwa wananchi wa kata ya Nyasubi Kahama. Tumejaribu kutoa taarifa tunajibiwa kiurahisi tu eti , Kuna matengenezo siku tatu kweli? Na bado mwisho wa mwezi bili unakuja kubwa...
Back
Top Bottom