Inawezekanaje huduma za;
1. Kupiga simu zisiwepi
2. Internet isiwepo
3. Sms ziwepo
4. Mpesa hakuna nk?
Kwanini msiboreshe kwa zamu?
Mnajua kuwa simu;
1. Huokoa maisha?
2. Internet ni ofisi za watu?
Je mnafidia walaji kitu gani au mtaishia kuomba radhi?
Wahuni nyie
(Tutaboresha mifumo yetu leo...