Kuna wimbi kubwa sana la kughushi nyaraka.
Mikoa kama Morogoro, Dar es salaam na kwingine imekithiri, cha kushangaza. Huduma ya wataalamu wa forensic, kama uchunguzi wa miandiko Jeshi la Polisi limewaweka Dar es Salaam tu.
Kama nyaraka imeghushiwa Tarime, Tandahimba, Kilimanjaro, Kagera...