Hello Wanajukwaa la Biashara na Uchumi.
Kampuni yetu inatoa huduma mbalimbali za usafirishaji wa mizigo, vifurushi, barua ndani na nje ya Tanzania.
pia tuna magari aina ya fuso tandam yenye uwezo wa kubeba hadi tani 17 na kusafirisha ndani ya Tanzania.
Pia tunaruhusu wale wa trip town, kwa...