Habar wakuu,
Ni takriban miez 2 tangu nifahamiane na huyu bi dada, Kuna stori behind iliyofanya tufahamiane nae japo kuielezea hapa nitawachosha wasomaji,
Kwa mwanzoni sikuwa namzingatia maana alikuwa anaweza akasafiri kutoka kwake hadi mitaa ya hom na kuomba tuonane na tukishaonana tunapga...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.