kukosa mitaji

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. M

    Wahitimu wa vyuo vikuu wanapitia mateso makali sana kisaikolojia. Wazazi mkumbuke kuaanzisha family business, watunzieni mitaji ya kuwapa after chuo

    Tazama mwenyewe huyu dada graduate anavyoteseka huu ni Ushuhuda: Tusirudie makosa ya wazazi wetu kukariri elimu ni ufunguo wa maisha mtoto afundishwe biashara na kuzalisha pesa kwa kujiajiri mapema. Watoto wa zama hizi wajifunze high income skills mapema, hii itawasaidia sana No need...
  2. milele amina

    Mnawaambia vijana wajiajiri wakati nyie mmeshindwa kujiajiri mmeomba Ubunge

    Tega sikio msikilize! Mnawaambia vijana hawana ajira wajiajir wakati nyie mmeshindwa kujiajri mmeomba ubunge, wote hapa mmeshindwa kujiarijiri wengine ni Maprofesa mmo humu, mmeomba ajira kwa wananchi ya Ubunge. Pia soma: Viongozi wanavyosema kila siku vijana wajiajiri, kuna hata mmoja kati...
Back
Top Bottom