Sina hakika kama ni Afrika nzima au Mtanzania tu.
Wengi wao akikupigia simu baada ya kupokea simu yake na akagundua kuwa haukuwa mlengwa, basi hukata simu ghafla bila maelezo yeyote.
Huwa kuna sababu gani ya kufanya hivyo? Je, ni uungwana? Mtu yule hata ukijaribu kumpigia ili kujua ana shida...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.