kukosea namba ya simu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Kwanini mtu akigundua amekosea namba hukata simu ghafla?

    Sina hakika kama ni Afrika nzima au Mtanzania tu. Wengi wao akikupigia simu baada ya kupokea simu yake na akagundua kuwa haukuwa mlengwa, basi hukata simu ghafla bila maelezo yeyote. Huwa kuna sababu gani ya kufanya hivyo? Je, ni uungwana? Mtu yule hata ukijaribu kumpigia ili kujua ana shida...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…