kuku chotara

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Madam Ritha Massawe

    Ufugaji wa kuku

    🐓S&Q_GROUP_INTERNATIONAL LIMITED🐓 AGIZA NASI VIFARANGA BORA KWA VIWANGO VYA KIMATAIFA 0781647066 ____________________________________________ 📠☎️ 0781647066 WAZALISHAJI WAUZAJI NA WASAMBAZAJI WA VIFARANGA BORA VYA KUKU WA NYAMA PAMOJA NA KUKU WA MAYAI...
  2. B

    Nauza kuku chotara Bei elfu 10

    Kuku wapo Dsm mbweni jkt kwa mawasiliano 0612630936 … bei n elfu kumi kamili ndo wana miezi mitatu na siku 24
  3. B

    Nauza Kuku chotara, ni Tetea kwa bei ya TSh 10,000 wapo 145

    Wakuu Kama muonavyo kwenye picha, hawa ni baadhi ya Kuku ambao nauza. Kuku wapo Dar es Salaam, Mbweni JKT kwa mawasiliano 0612630936 … bei n elfu kumi kamili ndo wana miezi mitatu na siku 24.
  4. Madam Ritha Massawe

    Sehemu sahihi ya kuagiza vifaranga ni s&q group of international limited

    AINA YA VIFARANGA VINAVYOPATIKANA HAPA S&Q NIKAMA IFUATAVYO 1.VIFARANGA VYA KUKU WA MAYAI -BRAND NI HY-LNE- MIEZI 4- WANATAGA..BOX 280,000 WANAKAA 100 2.VIFARANGA VYA KUKU WA NYAMA - BRAND ZIKO MBILI ROSE WA MWEZI MMOJA...PRICE CHANGES PIA KUNA BRAND YA BROILER TS.900 HAWA NI CHOTALA MIEZI...
  5. M

    Ufugaji wa kuku umerahisishwa siku hizi

    Ushauri kwa wafugaji wenzangu mliopo humu Kuna App ya ufugaji itakusaidia mambo kadhaa. Itakusaidia katika ufugaji wako. 1. kuandaa fomula za vyakula vya kuku kwa kiasi utakacho na kuku wa umri na aina zote 2. Itakupa uwezo wa kupiga hesabu za makadirio ya ulaji wa kuku wako kwa kipindi fulani...
  6. Nikifa MkeWangu Asiolewe

    Kwa Sasa kupata vifaranga chotara aina Kroiler na Sasso F1 ni kazi sana

    JF salaam 🙏 Bila shaka Kwa wafugaji wa kuku aina hizo mbili mtakubaliana na Mimi kuwa Tangu mwaka Jana katikati kumekuwa na uhaba sana wa vifaranga vya sasso na kroiler Sijajua changamoto ni Nini hasa. Mwaka Jana nilidhani huenda umeme ulichangia kuwa na uzalishaji hafifu au usio kidhi...
  7. J

    Wapi nitapata machimbo ya chakula cha kuku Ruvuma

    Naombeni msaada kwa anayejua wapi nitapata machimbo ya chakula cha kuku chotara, kama uduvi, mahindi paraza, mashudu, pumba za mahindi nk kwa bei rahisi mkoani RUVUMA HASA KWA WILAYA YA MBINGA??
  8. J

    SOMO: NAMNA BORA YA CHANJO ZA KUKU CHOTARA

    1. Baada ya kuanguliwa , Chanjo ya Marek's na Dawa HVT, Namna: sindano 2. Siku ya 2 hadi 6 KINGA ya Pullorum, Dawa: Trimazine 30% plus Vitamin, Namna: Maji 3. Siku ya 7, Chanjo ya Mdondo/Kideri (Newcastle), Dawa: Newcastle vaccine [LASOTA] Namna: Maji 4. Siku ya 14, Chanjo ya Gumboro, Dawa...
  9. Burhani Khaled

    Nikitumia Jogoo la kuroiler kupandisha kwa tetea wa kienyeji mayai yatatamiwa na kutotolewa?

    Habari za kazi waungwana. Samahani naomba kufahamu jambo hili linanitatiza kidogo. Hivi endapo nitatumia majogoo ya kuku chotara aina ya kuroilers kupandisha mitetea wangu wa kienyeji, majike ya kizazi kitachopatikana yatakuwa na uwezo wa kuatamia hadi kuangua mayai? Shukrani za awali.
  10. U

    Inawezekana kuwachanganya kuku chotara na kuku wa kienyeji?

    Habari wadau? Naomba kuuliza, je, inawezekana kuwafuga kuku chotara na kuku wa kienyeji kwa kuwachanganya katika banda moja? Yaani, unakuwa na banda moja la kuku hao (kienyeji + chotara) ila unawafuga kienyeji wote kwa kuwafungulia nje ndani ya fensi lakini, na jioni unawafungia ndani (Ufugaji...
  11. CHASHA FARMING

    Ufugaji wa kuku chotara na kienyeji kwa mijini ni hasara tupu

    Kama una ishi miji mikubwa kama Dar, Mwanza, Arusha, Dodoma, Morogoro, Mbeya, Moshi na kadhalika basi wekeza kwenye kufuga kuku wa Kisasa wa Mayai na kuku wa Nyama yaani Broiler. Mijini hakuna anaye uliza hilo ni la nini na pia mijini demand ya mayai ni kubwa sana kwenye matumizi ya kawaida na...
Back
Top Bottom