Kuna binti niliwahi kumuomba Namba akanipa namba Sasa nikasema nisiwe na haraka ya kumtongoza nikasema nianzishe nae mazoea nikawa namshiriksha kazi zangu za uandishi wa makala baadhi baadhi.
Akaona kama nampa vitu vigumu akaniblock nikafuta no yake Mzee nikapotezea ukapita mwezi kabsa.
Siku...