Kumbuka kuwa, pamoja na kwamba unaweza kuwa mzuri sana ila bado utakataliwa....hata maembe ni matamu sana ila sio watu wote wanapenda maembe...
Mananasi pia ni matamu sana lakini sio watu wote wanapenda mananasi..VNa vyote vitamu unavyovijua sio kwamba vyote vinapendwa na kila mtu...
Kwahiyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.