M. Kula Segaran s/o V. Murugeson (Tamil: மு.குலசேகரன், romanized: Mu.Kulacēkaraṉ; born 10 August 1957), commonly referred to as Kula, is a Malaysian politician and barrister who has served as the Deputy Minister in the Prime Minister's Department in charge of Laws and Institutional Reforms in the Unity Government administration under Prime Minister Anwar Ibrahim and Minister Azalina Othman Said since December 2023 and the Member of Parliament (MP) for Ipoh Barat since March 2004. He served as the Minister of Human Resources in the PH administration under former Prime Minister Mahathir Mohamad from May 2018 to the collapse of the PH administration in February 2020 and the MP for Teluk Intan from May 1997 to November 1999. He is a member and National Vice Chairman of the Democratic Action Party (DAP), a component party of the PH and formerly Pakatan Rakyat (PR) and Barisan Alternatif (BA) coalitions. His appointment as a deputy minister in December 2023 is rare in Malaysian politics since he was a former federal minister in the Seventh Mahathir cabinet back in 2018. He is one of the three deputy ministers who were previously a federal minister alongside Shamsul Anuar Nasarah and Noraini Ahmad.
Sometimes unapokuwa na hela hutamani kua sehemu ambayo sawa kuna wadada ila ukiwaangalia tu anakuja mezani kwako ama sehemu ulipo anaanza kukuambia twende tukapumzike ama naomba ninunulie bia, hapo hata personal hygiene yake ni mbaya..
Napenda sehemu ambazo za kistaarabu kuna pisi kali sawa ila...
Wakulungwa , huu mwaka 2025 Mimi nimeamua kula Bata na kufurahisha nafsi yangu, Yani ni mwaka sio wa kujitesa tena .
Haya maswala ya kutafuta pesa na Bado hauli Bata nimeona sio kweli..maisha yenyewe mafupi haya , time yoyote unaweza ukakata moto na pesa zako
usifaidi wa kafaidi wengine ambao...
Nakumbuka mwanzoni mwa msimu huu nilipongeza usajili mzuri waliofanya Simba ila nikatoa angalizo moja kuwa wachezaji wa Simba wapigwe marufuku kuzoeana na wachezaji wa Yanga nje ya uwanja.
Naelewa hawa wachezaji wana maisha nje ya uwanja na naelewa pia wengine wana historia zinazoingiliana kwa...
Mapema mwezi Juni Yanga walifanya Mkutano Mkuu na hapo ndipo walimtangaza Miguel Ángel Gamondi kuwa ameongeza mkataba wa mwaka mmoja na kutokana na mafanikio yake na Wananchi ya msimu wa 2023/24 basi walikuja na msemo wa "TABU IKO PALE PALE" kutokana kuwatesa sana Watani zao Simba SC.
Soma...
Mtu utasikia anadai anaenda sehemu kula bata ila akifika anakunywa soda chips labda na kipande cha kuku. Kwani kula kwa tunavyohisi ni kitendo cha starehe yaani yawe mambo yenye utofauti kidogo na unayofanya kila siku.
Wewe kwa upande wako ukisema unaenda kula bata unamaanisha mambo gani haswa...
Wananzengo vipi?
Leo tunaenda kula bata wapi?
Wanasema kazi na dawa; ukiwa bize sana ni sawa na kutumia mikono yako kusukuma mlima ili uweze kuhama.
Twende kazi!
Habari wakuu?
Natumaini nyote mko poa kabisa na mmejipanga vizuri katika kusherehekea weekend inayotegemea kuanza leo jioni, baada ya kupambana wiki nzima katika utafutaji wa mkate wa kila siku.
Kupumzika pia ni muhimu, ili kuupongeza mwili kwa kazi kubwa ya kuutumikisha bila kuchoka kwa siku...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.