Imagine tunatoka stendi Arusha asbuhi ya leo mida ya saa Moja, masela flani mid 40s wamekaa siti ya nyuma hapa, wamenunua keki maeneo ya Arusha wakaanza kubonya nkasema sio kesi maybe wamemiss breakfast kutokana na situasheni mbali mbali nkaona unyama wanaume kazini,gari ikafika manyara mzani...