Habari zenu wana JF,
Mojawapo ya chakula kinachotumika na idadi kubwa ya watu hasa mijini ni nyama ya kuku wa kisasa.
Je, kuna madhara yoyote ambayo mtu anaweza kupata baada ya utumiaji wa hiki chakula kwa muda mrefu?
karibuni!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.