“Mara ya mwisho mimi kunywa Juisi au Soda ni Mwaka 2000. Iko hivi, kuna tofauti kubwa ya kula chungwa na kunywa juisi ya Chungwa. Nikinywa Juisi nakunywa Sukari moja kwa moja hata kama haijawekewa sukari. Mfano, ili nipate glasi moja ya Juisi ya Chungwa nahitaji Machungwa matano. Asubuhi...
Dini zote mashuhuri duniani hasa Ukristo ,Uyahudi na Uislam zinakubaliana ya kuwa binaadam ameumbwa na Mungu,ambaye ni muumba wa ulimwengu mzima.Licha ya hivyo utofauti unakuja mara baada ya kuumbwa mwanaume wa Kwanza(Adam).zipo tafakuri na dhana za kiitikadi mbalimbali katika dini tofauti juu...
Naam hujakosea, nitaeleza kwa ufupi kwakua mimi sio muandishi sana.
Miaka kama miwili nyuma wakati nasoma chuo mwaka wa mwisho nilizama penzini na mtoto aitwae A... Fa (aged 19 - 21) alikua akiishi kigamboni huyu mtoto kwanza kabisa nilimpata kirahisi sana kwakua alikua ameachwa na bwana wake...
Luka 8:17 - Hakuna siri ambayo haitafichuliwa, wala hakuna jambo lililo fichika ambalo halitajulikana na kuwekwa wazi
Tuzungumzie huu ndio ukweli ambao hakuna mtu anayetaka kuuzungumza juu yake, vipi ikiwa binadamu hapo mwanzo wa dunia hakukusudiwa kuwa hapa hii dunia? Sasa kabla haujafikiria...
Ukikamua tunda ili kupata juice unapoteza nyuzinyuzi zake ( Fibers).
FAIDA ZA KULA FIBERS;
Mosi , Fibers ni chakula cha chembe hai za utumbo mpana. Utumbo mpana huzibadili fibers kuwa mafuta yajulikanayo kama BUTYRIC ACID. Mafuta haya ndo chanzo cha nishati kwa chembe hai za utumbo mpana (...
Yalinikuta !, Niliahirisha kwenda interview niliyoisaka kea muda ili nile tunda
Nakumbuka kuna kipindi wakati natafuta kazi kuna sehemu nilii apply na kweli nikapigiwa simu kwamba siku ya jumatatu niende, nikatumiwa pdf ikaonesha nafasi niliyoomba inabidi nifike saa nane mchana
Siku ya ijumaa...
Kuna demu nimemtongoza akaeleweka lakini aliponiambia tu amewahi kuishi njombe zaidi ya mwaka mmoja, stimu zimekata kabisaa, hii ni kutokana na story ninazozisomaga humu jf kuhusu njombe
Asanteni
Hii ni opposite thread ya ile ya kula tunda kimasihara.
Kuna wakati tumewahi kuwa kwenye mazingira yenye opportunity ya kula/kuliwa tunda kimasihara ila tukashindwa/kuponyoka.
Binafsi nilishapata opportunity hiyo kwa dem na nikashindwa.
Opportunity ya dem niliipata nikiwa field 7 years ago...
Habarini nyote Bazzukulu,
Nawakumbusha wanaume kuwekeza kwenye ubunifu wakati wa kula tunda ikiwa ni pamoja na kuicheza ngoma ya mlo wa tunda kwa kumkatikia mwanamke mauno yenye ustadi wa hali ya juu sana. Hii itasaidia kuacha legacy yako nzuri kwa washirika wako.
Nisiwachoshe ni hayo tu...
Nakumbuka mwaka 2013 nikiwa machimboni huko Geita, machimbo mapya ambayo yalikuwa ndo kwanza yameibuka na hivyo kulikuwa na ukame wa totoz.
Mademu waliokuwepo walikuwa wakitoa huduma kwa kuringa sana kwani demand ilikuwa kubwa kuliko supply
Sasa siku moja tukiwa bar mshenzi tukipiga vitu(bia)...
Kijana mmoja huko buza kwa mpalange amejikuta akitunukiwa tunda kimasihara bila kutoa hata senti tano.
Dah,, ila hizi bahati mbona hazijawahi kunikuta ona sasa mpaka nimesha owa.,😋😋😋
Kuna mwanababa amenileta kwake niishi hapa, hivi sasa natimiza wiki mbili. Lengo kuu haswa la kuwa hapa ni kwa ajili ya kuwapatia mafunzo ya ziada wanae wawili wa kiume, mmoja darasa la nne, mwingine darasa la sita! Hapa nyumbani anaishi pia yeye, mkewe na house girl wake! hivyo nyakati za...
Habari za wakati huu wana JF.
Baada ya kupitia ule uzi pendwa wa kula tunda kimasihara nimegundua visa vingi vimejengeka katika mazingira yanayohusisha matumizi ya vilevi.
Hivi sababu ni nini? Je vilevi vinahamasisha ulaji wa tunda kimasihara?
Wakuu salam! Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu.
Kiukweli unapoachwa na mtu uliekuwa unampenda sana maumivu yake ni makali mnoo.
Lakini pia kuna maumivu yale umeachwa halafu hukuwahi kula tunda na ulikuwa unahudumia kila kitu. Ila kwenye swala la kula tunda bado ulikuwa unazungushwa mpaka...
Wakuu, hii ni story ya kweli ya tukio likilonikuta few years ago.
Wakati nafanya kazi Dar es Salaam kwenye kampuni fulani ya usafirishaji, waliletwa wafanyakazi wapya watatu wa kike.
Kila ofisa mzoefu alikabidhiwa binti mmoja amfunze kazi pale kwa ofisi. Mimi nilikabidhiwa binti mmoja mrefu na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.