Kumekuwa na tabia yetu kulalamika kwa kila jambo!
Tulalamike lakini tutoe na Suluhu
Mpaka Sasa Serikali ya CCM chini ya Rais Samia Suluhu Hassan ipongezwe walau kwa 40% ya Mambo imeyafanya kwa asilimia hizo Kati ya 100%
Tujikumbushe ishu Moja ya Msingi
Uhuru wa habari upo
Amani imerudi kwa...