kulekea 2025

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Waufukweni

    Pre GE2025 Hashim Rungwe: Kama wanajeshi wanapata chakula, wanafunzi wapewe pia

    Hashim Rungwe Spunda, Mwenyekiti wa Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) Taifa kuhusu Jeshi la kujenga Taifa (JKT) kupata chakula na huku akiona hakuna umuhimu wakuwa na Jeshi hilo na akipendekeza pia Wanafunzi wapewe chakula.
  2. Mindyou

    LGE2024 Lindi: Waziri Mkuu Kassim Majaliwa na mkewe Mary Majaliwa wajiandikisha kwenye daftari la Uchaguzi wa Serikali Za Mitaa

    Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, leo Oktoba 19, 2024, ameshiriki zoezi la kujiandikisha kwenye Daftari la Mpigakura kwa ajili ya uchaguzi wa Serikali za Mitaa unaotarajiwa kufanyika Novemba 27, 2024. Akiwa ameambatana na mkewe Mama Mary Majaliwa, alijiandikisha katika shule ya msingi Nandagala...
  3. B

    Pre GE2025 2025 patachimbika kwa moto huu, CHADEMA muwe na mipango hii ya kuingia Ikulu

    Naona moto wa Chadema (Tundu Lissu) umewaka Tanzania nzima. Naona huu moto ni kama ule wa vijana wa Senegal Marais wa sasa (Rais na makamo wake) walivyo uwasha moto mpaka wakaingia ikulu ya Senegal. Cha kufanya CHADEMA ni kutokulaza damu kuanzia sasa hivi mpaka uchaguzi mkuu 2025. 1. Maandamano...
Back
Top Bottom