1) Ukikaaa kwa dakika 15 bila kutikisika lazima ulale..
2) Mara nyingi mtu anapolia hukumbuka matukio ya nyuma ndio yanamuongezea kilio.
3) Kwa sekunde 3 baada ya kuamka kutoka usingizini binadamu huwa hakumbuki jambo lolote.
4) Watu wenye aibu ndio watu wenye akili zaidi na waaminifu...