kulipwa mishahara

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. C

    MSAADA: Nitawezaje kulipwa mishahara yangu iliyozuiliwa?

    Najua humu ndani naweza kupata msaada wa namna ya kudai mishahara yangu iliyozuiliwa kwa muda wa miezi nane huku nikiendelea na kazi. Mshahara wangu ulizuiliwa baada ya kutokuwepo kazini kutokana na kuugua wakati wa likizo. Baada ya kupona, nilirejea kazini na kuwasilisha ushahidi wa kidaktari...
  2. Eng. Hersi Said: Mimi sio mfanyakazi wa Yanga, Sipo kwenye orodha ya wanaolipwa na Yanga

    Mimi sio mfanyakazi wa Yanga, Sipo kwenye orodha ya wanaolipwa na Yanga, sipati Tsh. 100 Yanga, mimi kwa maana ya Rais wa Klabu sio mfanyakazi wa klabu, wala haajiriwi na klabu, makamu wa Rais pia, wajumbe wa kamati ya utendaji pia sio wafanyakazi wa Yanga. “Wafanyakazi wa Yanga wanaanzia Level...
  3. Asante JamiiForums: Hatimae watumishi wa Umma wamelipwa Mishahara yao, kelele zimefika kwa mamlaka

    Nipenda kutuma Salamu zangu kwa mwanzilishi wa JF, watumishi wa JF na watumiaji wa JF. Ni mtandao unaofuatiliwa na kusomwa na wengi. Napenda kuwashukuru kwa kuusimamia Uzi uliokuwa unaelezea kulipwa mishahara ya watumishi Umma, June 2024. Watumishi wamelipwa baada ya kelele kuwa nyingi...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…