Jamani naombeni mnisaidie sidhani kama nimepost kwenye jukwaa husika lakini kuna ndoto imenichanganya nmeota kwamba,nmejifungua mtoto hospitali lakini akawa katika uangalizi cha kushangaza nilijufungua mtoto wa kiume lakini akabadirishwa akawekwa wa kike nikawa napiga kelele wodini kutaka kujua...
Salaam ,shalom!!
Mara nyingi umewahi kuota ndoto na unapoamka huikumbuki, na Hali hiyo inakupa huzuni na Kupata shauku ya kutaka kukumbuka usiweze.
Usilolijua, Ufalme wa Nuru na WA Giza, falme hizi zinaweza kuleta na kufuta ndoto nafsini mwako Kwa sababu mbalimbali. Na ndoto Si igizo au...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.