kumchafua

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. M

    Mwabukusi rais TLS adai kuna watu wamesambaa kila kona kumchafua

    Akichangia ktk topic iliowekwa ktk mtandao wa X na mwanaharakati na rafiki wa karibu wa Tundu Lissu bibi Maria Sarungi, Rais wa TLS ameandika kwamba kuna watu wamesambaa ktk mitandao ya kijamii kwa lengo la kumchafua. Hii imekuja baada bi Maria kuweka post inayompongeza Rais huyo ya kwamba...
  2. L

    Kinachomsumbua Dkt. Slaa ni udini na chuki binafsi kwa Rais Samia

    Ndugu zangu Watanzania, Kama ni Wafuatiliaji wazuri wa siasa za nchi hii mtakubaliani nami na ukweli kuwa Dkt. Slaa amekuwa na Udini mkubwa sana ndani ya kifua chake. Amekuwa na chuki binafsi sana kila inapotokea utawala uliopo madarakani ni wa upande wa pili yaani Uislamu. Amekuwa ni mtu...
  3. Z

    Mbowe kuanza kumchafua Lissu ni dalili ya kuzidiwa au kuweweseka?

    Ukisikiliza mazungumzo ya Mbowe ni dhahiri ameanza kumchafua Lissu hiyo ni dalili ya kushindwa. Lissu yeye anajenga hoja
  4. R

    Zifuatazo ni athari za kumchafua mtu wa ndani kwa matendo ya mtu wa nje

    Salaam,Shalom!! Twende Kwa kifupi zaidi, Mtu wa ndani ni nani? Mtu ni ROHO, anayo NAFSI na anaishi ndani ya MWILI. Mtu wa nje ni nani? Mtu wa nje ni mwili uliotokana na udongo, Mtu wa ndani ana viungo vya mwili vyote kamili, hata kilema wa Kuzaliwa au kipofu wa mwili, katika yule mtu wa...
  5. Roving Journalist

    Mwandishi Ansbert Ngurumo apewa hifadhi kwa usalama wake nchini Finland

    Ni habari mbaya kwa nchi yetu inaendelea kuwa na hadhi mbaya ndani /nje ya mipaka yake. Maisha ya waandishi wa habari, wanasiasa na wanaharakati yamekuwa ya mashaka. Mwanahabari Ansbert Ngurumo aliyewahi kuwa mhariri wa Magazeti ya Tanzania Daima na Mwanahalisi, amekimbilia nchini Finland na...
  6. Etwege

    Hoja wanazotumia kumwandamana Dotto Biteko hazina mashiko

    Waziri Dotto Biteko ambaye pia ni Naibu Waziri mMkuu ameituliza sana Wizara ya Nishati iliyokuwa imeharibiwa vibaya kwa ufisadi na January Makamba. Foleni za kugombea mafuta hazionekani tena pia upatikanaji wa umeme umeimarika mno. Kama kuwa na Wajomba nje ya nchi ni kosa hata Rais Samia ana...
Back
Top Bottom