kumeza

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Shilole kila Mwanaume kwake ni mbaya

    "Nilikuwa naamka saa 12 asubuhi naenda kwenye mihangaiko yeye namuacha amelala, nilikuwa naacha elfu 40 mezani haongezi hata elfu 5 tunakula hiyo elfu 40 siku inaisha anasubiri kesho tena niamke saa 12 nimlishe. Hajitumi, mimi mwanaume ambaye hahangaiki hana maana kwangu"- My take : Yawezekana...
  2. G

    Kihasibu Yanga wamepata faida iliyofichwa kwa kupandisha matumizi, Mfano ni kipengere cha mishahara ya bilioni 7.3

    kwa makadirio makubwa mishahara ya wachezaji na benchi la ufundi kwa timu kuu, Yanga princess na vijana ni BILIONI 4 kwa makadirio ya juu, Timu kuu mishahara ni BILIONI 3 Wanaopata milioni 25 wawili Wanaopata milioni 20 wawili Wanaopata milioni 15 watatu Wanaopata milioni 10 sita Hao wengine...
  3. Mapenzi ndio ni uchafu ila kwanini unilazimishe kumeza uchafu

    Wanaukumbi mko njema Katika hali ya kawaida nilienda kusuuza rungu kwa binti mmoja hivi Kama kawaida yetu huwa hatunaga show mbovu, nikamwandaa kisaikolojia vizurii kabla hatujaingia ktk pit Manzi akaja na full curiosity ya mechi maana nimemwandaa vyema kisaikolojia kiasi kwamba hata...
  4. Kuchuja mbu na kumeza ngamia - Serikali za Afrika

    Watawala wa Africa tofauti na viongozi wa "ulaya' wao wana mambo yao , wanaamini hivyo na huwaambii kitu! Vyeti feki --------matokeo Halali. Walimu feki ---- Wanafunzi Halali Phd Feki ------ Ubunge halali. Ubunge feki ----- Phd Halali Manabii feki -- Imani halali. Njia haramu -- Matokeo halali...
  5. Ngumu kumeza

    Bob Marley aliwai kusema "the good thing about music, when it hits you, you feel no pain". Sikatai lakini... Jana baada ya mechi ya yanga na kuchoma Cannabis Sativa kidogo niliingia local bar nikaagiza Pilsner bariidiiii. Nikaendelea kuilamba asteaste nikiskiza Rhumba safi za kitambo na kuosha...
  6. Ulishawahi kujiuliza kuwa kuna siku utakufa? Na je, ukifa itakuwaje?

    Natumaini wote wanzima humu... Hii mada ni ngumu kidogo, ila yakupasa kuisoma yote maana ndo tunapoelekea huko. Ulishawahi kujiuliza kuwa kuna siku utakufa? Na je ukifa itakuwaje? Kila binadamu ataonja mauti,nakila chenye pumzi kitakufa tu. Hii dunia walishaishigi watu hatari, tena...
  7. Wanasimba hii chungu kumeza, ila hasira zenu msizimalizie kwa Mohamed Dewji!

    Yanga ndio huyo Fainali ya Shirikisho. Tambueni tu mtani anachuma alichopanda baada ya msoto mkali. Uwekezaji, mipango-mkakati na utawala bora, maandalizi mazuri ya msimu, kiu ya mafanikio n.k, vimewafanya jamaa kuandika historia. Mafanikio hayana uchawi zaidi ya kujipanga. Mtaani apewe...
  8. Nasumbuliwa na maumivu ya mguu hasa maeneo ya paja, dawa gani ya kumeza inaweza kunisaidia

    Habari, Kama kichwa cha habari kinavyoeleza hapo juu, nimekuwa nasumbuliwa na maumivu ya mguu maeneo ya paja kuelekea kiunoni. Kwa kweli sijawahi kuanguka au kupata jeraha lolote hivi karibu ila naona tu mguu unakuwa na maumivu. Dawa gani nzuri iliwahi kukusaidia kwa maumivu ya mwili au viungo...
  9. Mtanzania Afariki Baada ya Kumeza Dawa za Kulevya akiwa katika harakati za kupoteza kidhibiti South Africa

    Mtanzania mmoja amefariki akiwa anapelekwa Kituo cha Police kwenye kitongoji moja wapo jijini Johanesburg. Kulitokea majibishano na Kurushiana Mawe kati ya Police na Watanzania kwenye kitongoji hicho. Kile walichodai watanzania kuwa Police wamemuua na kuchukua pesa zake. Kuna video ya maojiano...
  10. Tundu Lissu, Lema watangaza mpango wa kurudi Nchini, Lissu ataja kinachomkwamisha

    Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu na Mjumbe wa kamati Kuu ya Chama hicho, Godbless Lema wametangaza kuwa watarejea nchini hivi karibuni ili kuendeleza jitihada za kudai Katiba mpya. Wakizungumza katika kongamano la Baraza la Vijana la CHADEMA...
  11. D

    Kuwatangazia Oparesheni Panya Road hadharani ni kuwaogopa

    Kuwatangazia panya road oparesheni ni kupeleka salamu ya kushindwa! Ilitakiwa tutangaze tumefinya panya road wangapi hadi sasa! Wakati mwingine kutangaza hadharani kwamba unaenda kufanya hiki na kile kutokomeza panyaroad. kuwa makini na wanaokupigia makofi kwenye kikao hicho huenda kukawemo...
  12. Tukubali ukweli, Watanzania si watu wa kufanya maandamano. Tusitegemee miujiza

    Makamanda, tukubali ukweli kuwa pamoja na wito wa kuandamana kutolewa mara nyingi na viongozi wa CHADEMA, hakuna iliyofanikiwa. Tunajilisha upepo kufikiri kuwa tarehe 5 Agosti itakuwa tofauti. Ni muhimu sasa tuwaambie viongozi wa CHADEMA waachane na mkakati huu ambao siku zote unashindwa...
  13. ARV uzisikie kwa wenzako, tutumie condom

    Wakuu suala la kumeza ARV kwa maisha yako yote toka kugundulika umeathirika usikie tu kwa jirani. Siku za mwanzo maluwe-luwe Kama yote. Tuache ngono zembe. Vaa kondomu ndugu, ule utelezi na joto-joto litakugharimu. I tell you! UPDATE Kama umeoa bora kumtaarifu mapema mwenzio maana siku...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…