Naomba nikuletee list ya wachezaji bora kuwahi kutokea katika bara la Afrika.
Nimepitia kumbukumbu kwa wale wa zamani sana na wengi kuanzia mwaka 1996 nimewaona wakicheza.
Vigezo vilivyotumika ni mafanikio kwenye tuzo binafsi, mafanikio kwenye timu walizochezea na mafanikio kwenye timu za...