kumi bora

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mkoa wa Mbeya uwe workshop ya Elimu nchini

    Kwanza kabisa nitoe maana ya title hapo juu. Kuifanya Mbeya kuwa workshop ya elimu ni kama kuufanya mkoa wa Mbeya mfano wa kuigwa au sehemu ya kujifunzia kwa mikoa mingine Kutokana na kiwango cha Elimu kwa huu mkoa wa Mbeya kuwa juu kila mwaka na kuwa constant kwa ufaulu bila kuyumba yumba...
  2. Sababu ya Simba kutoanzia kwenye hatua ya awali kwenye michuano ya Klabu bingwa Afrika ni hii

    Naona kuna watu wasioelewa kwanini Simba ipo kwenye timu 10 ambazo hazitoanzia hatua ya awali. Wengi wao wanasema kwavile Simba ipo kwenye kumi bora Africa ndio maana wamepata hiyo nafasi. Usahihi ni kwamba Simba wamepata nafasi kwavile timu zingine zenye nafasi zao zimeshindwa kifuzu kuingia...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…