Tattoo sijui maana yake nzuri kwa Kiswahili ila ni michoro/picha mbalimbali zinazochorwa kwenye mwili wa binadamu kwa malengo mbalimbali wako wenye wamechora tattoo za Simba, Nyoka, Msalaba,wapenzi wao...nk
Tattoo kwa kifupi inamaanisha i Belong to/mimi ni mali ya mtu fulani au kitu flani au...