Wandugu heri ya ijumaa!
Kuna dogo ni beki 3, ninahisi ananguvu za ajabu ajabu a.k. a mauza uza!
Sasa nikasema moyoni nitaenda kwa wanajamii forums, great thinkers wenye akili Mithali ya Aristotle, Socrete, na Plato, watu walikuwa na maarifa na akili za kiufumbuzi wa matatizo!
Ndugu nipeni...