Ni hivi Lissu anataka Rais Samia kwenda hadharani na kumuhakikishia Lissu usalama wake ili aweze kurudi Tanzania.
Rais Samia anasita ingawa si kwa kumuogopa Lissu au Usalama wa taifa lakini ni kwa kumkinga.
Mama akitoka leo na kumuhakikishia usalama Lissu wapinzani wake Rais Samia watatumia...