Wakuu,
Yapata miaka miwili iliyopita tangu niamue kuachana na binti niliyempenda sana.
Ilikuwa hivi....
Binti alikuwa anasoma kidato cha nne mwaka huo,ikatokea nimempenda sana,nikaanza nae mahusiano,mpaka ikapelekea wazazi wake watambue hilo
Baba na mama wa binti na wazazi wangu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.