kumtamkia

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Kumtamkia mzazi wako nakupenda kimaadili ya Kitanzania ni utovu wa nidhamu

    Habari wakuu, Tangu awali nilishasea huu uzungu na haya maisha ya watoto wa kishua sijui wanampango gani na vizazi vyetu, Siku moja kuna star mmoja na mchekeshaji maarufu alifiwa na mama yake mzazi sasa jamaa alishinda akipost video alivyokuwa anaishi na mama yake mara wabusiane mara...
  2. Lini mara ya mwisho kumtamkia mzazi/mlezi wako nakupenda?

    Siku moja maza kaja kunitembelea kwangu, nikamtoa out tukala nyama akafurahi sana akaniambia Einstein mdogo wako wa mwisho siku moja aliniuliza "mama nlishawahi kukuambia NAKUPENDA?" Akasema sikutaka kumkatisha tamaa nikamwambia umeshawahi mwanangu. Dogo akasema "Mama NAKUPENDA" Maza akasema...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…