Wakuu habari zenu. Natumaini mu wazima.
Kama title inavyosema hapo juu hivi ni kitu gani/sababu gani inayofanya kumwaga\kuejaculeti mapema ni nini sababu maana nilishawahi kufuatwa na watu kama wawili wakinieleza tatizo kama hilo sasa mimi nikishindwa kuwajibu.
Basi wakuu nilikuwa naomba kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.