“Niliishiwa na nguvu wakati aliponiambia kama unaitaka hii nafasi basi lazima tukutane kimapenzi kwanza ndio uipate,” anasema Sharifa.
Kitu pekee kilichomjia kichwani kwake ni kuliweka jambo hilo liwe siri, libaki milele kwenye shimo la nafsi yake, hakutaka mume wake ajuwe nini kilimkuta hata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.