kung'olewa meno

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Cute Wife

    Mume amng'oa meno mke wake kisa Tsh. 200!

    Jeshi la polisi mkoa wa Mara liunamshikilia mtu mmoja aitwaye Mussa Abdalah mkazi wa kijiji cha Nyakatende wilayani Musoma kwa tuhuma za kufanya kitendo cha ukatili cha kumng’oa meno matatu mke wake kwa kutumia plaizi kwa madai ya kutumia shilling mia mbili kumnunulia mtoto wao andazi.
Back
Top Bottom