kuni

Ni no Kuni is a series of role-playing video games published by Bandai Namco worldwide and developed and published by Level-5 in Japan. The first games in the series chiefly follow the young Oliver, and his journey to another world to save his mother and stop the beckoning evil. The sequel follows Evan Pettiwhisker Tildrum, a boy king who is usurped from his castle, and sets out to reclaim his kingdom. The games utilize several magic elements, allowing players to use magical abilities during gameplay, as well as creatures known as familiars, which can be tamed for suitability during battle.
Conceived as a project for Level-5's tenth anniversary, Ni no Kuni: Dominion of the Dark Djinn was released in December 2010 for the Nintendo DS. An enhanced version of the game for the PlayStation 3, Ni no Kuni: Wrath of the White Witch, was released in Japan in November 2011. The games were developed separately, retaining similar stories, but featuring significant artwork, graphics and specification changes. A localized version of the game was published in Western regions by Namco Bandai Games in January 2013. A sequel, Ni no Kuni II: Revenant Kingdom, was released on Microsoft Windows and the PlayStation 4 in March 2018. Three mobile games have also been produced: Hotroit Stories, released in December 2010 through the Roid service, follows the story of Oliver and Mark as they try to find parts for a car; Daibouken Monsters, released in May 2012 through the GREE service, is a social card game in which players collect cards featuring imajinn; and Cross Worlds, released for Android and iOS in June 2021, follows a beta tester for a fictional virtual reality game, which transports them to the world of Ni no Kuni.
The animated sequences for Dominion of the Dark Djinn and Wrath of the White Witch were produced by Studio Ghibli, and the original score was composed by Joe Hisaishi and Rei Kondoh. The artwork was also greatly inspired by Studio Ghibli's other productions. The character development—particularly that of Oliver and his friends—was a large focus of development, and was intended to make children empathize with the characters and for adults to relive their adolescence. The developers chose to initially develop for the Nintendo DS due to its suitability for gameplay, and later used the power of the PlayStation 3 to its full potential to render the world with great detail.
Games in the series have been praised as being among the best modern role-playing games. Reviewers mostly aimed their praise at particular elements of the games: visual design, and its resemblance to Studio Ghibli's previous work; characters and story, for their believability and complexity; the soundtrack, and Hisaishi's ability to capture the essence of the game world; and the unique gameplay, particularly for its ability to blend formulas from other role-playing game franchises. The games also won awards from several gaming publications. In May 2018, Bandai Namco reported that the series had shipped 2.8 million copies worldwide. An animated film adaptation produced by OLM, Inc. and distributed by Warner Bros. was released in 2019.

View More On Wikipedia.org
  1. Intelligent businessman

    Nahisi maamuzi haya ni moja ya dhambi zangu, zitakazo nisumbua na kuni tesa kwenye maisha yangu

    I am just getting shits out of my chest, so Kama ime andikwa vibaya vumilia tu. hizi ni kumbukumbu mbali mbali za maisha yangu. Mwaka jana nili pata ajali nikiwa safarini, Mimi na wenzangu watatu. ajali hiyo ili sababisha maumivu makubwa kwa baadhi yetu, kuanzia dereva aliye pata shida ya...
  2. Mtoa Taarifa

    Leo Desemba 31, 2024 ni mwisho kwa Taasisi za Umma zinazohudumia zaidi ya Watu 100 kutumia Mkaa na Kuni Tanzania

    Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa Majaliwa amezikumbusha Taasisi na mashirika yote ya Serikali yaliyopo kote nchini Tanzania ambayo yanahudumia watu zaidi ya 100, kutekeleza bila shuruti agizo lake la kuitangaza Disemba 31, 2024 kuwa siku ya mwisho kwa matumizi ya...
  3. Eli Cohen

    Shyne: "Nilidhani Diddy atanipata $10million kwa kuspend miaka 10 gerezani kwa ajili yake ila nilishangaa yeye kuni offer $50,000"

    Shyne "Jamaa ananipa 50k wakati huo ametoka kuspend 500k kwa mpenzi wake" Shyne ambae alikuwa mmoja wa entourage ya diddy wakati mtu mmoja alipopigwa risasi hadi kufa kwenye party, alikataa kusema ukweli kwa kile kilichotokea kupelekea mauaji ya jamaa huyo alipokuwa kiziuzini. Aliamua kuchukua...
  4. Pascal Mayalla

    Nishati Safi ya Kupikia: Je Tunahitaji Zaidi Utashi wa Kisiasa, Political Will, au Mahubiri ya Nishati Safi, Huku Mazingira Bado ni ya Kuni na Mkaa?

    Wanabodi Hii ni makala yangu kwenye Gazeti la Nipashe la leo. Utekelezaji wa hoja ya Nishati safi ya kupikia, unahitaji zaidi utashi wa kisiasa kuliko ahadi za maneno na kuwagawia bure mitungi ya gesi watu masikini wa kutupwa wanaoishi kwenye lindi la umasikini uliotopea ambapo hawana uwezo wa...
  5. Sky Eclat

    Jiko la kuni tangu lilitumika miaka zaidi ya 100 iliyopita

    Hili jiko limeboreshwa, wengi walioishi kwenye nyumba za serikali alizoacha mkoloni walikutana na majiko ya aina hii. Yale ya enzi zile haya kuş na sehemu ya umeme. Enzi zile waliotumia majiko haya, walitumia matawi ya miti kama nüshayı. Enzi zile nchi ilikua bado na miti mingi sana...
  6. Superbug

    Je, ni nani anayesoma au kunifuatilia au hata kuni admire mimi superbug humu jamiiforum?

    Hakuna jambo jema kama kujua unapendwa na watu pia wanakupa attention je mimi Superbug napendwa na je nani wananiadmire humu jamiiforum? Pia naomba kama wewe ni mpenzi wa kupenda kupendwa basi weka jina la member unayemfwatilia humu. Binafsi nawafwatilia wengi almaarufu ni Pascal Mayalla...
  7. Lady Whistledown

    Rais Ruto: Waliohusika na Mauaji ya Miili iliyotupwa Kware watakiona cha Mtema Kuni

    William Ruto ameagiza mamlaka husika kuharakisha uchunguzi kuhusu miili iliyopatikana ikiwa imefungwa kwenye mifuko ya plastiki kwenye dampo la Kware huko Mukuru kwa Njenga, Jijini Nairobi ili wahusika washughulikiwe kwa Mujibu wa Sheria za Nchi Ruto amesema hakuna sababu yoyote inayoweza...
  8. Kasongo_2024

    Matumizi ya kuni na mkaa

    Serikali imejipanga vipi kuhakikisha mwananchi wa kawaida anatumia gesi au umeme kupikia? Je, huu uamuzi wa serikali kuwataka wananchi kutumia gesi badala ya kuni na mkaa, imefanya tathmini ipi na kugundua kuwa wananchi wa kawaida wanaweza kumudu gharama za matumizi ya gesi? Kama serikali ina...
  9. Kidaya

    SoC04 Vitalu vya kuvuna kuni na mkaa kwa uhifadhi wa mazingira

    Kuni na mkaa ni vyanzo muhimu vya nishati kwa kupikia na kupasha joto, ambapo inakadiriwa kuwa 90% ya watanzania wanategemea kuni na mkaa kwa mahitaji ya nishati (HBS 2020 report). Pamoja na jitihada nyingi zinazofanywa na serikali, mashirika ya kitaifa na kimataifa ya kuhamasisha watu kutumia...
  10. OKW BOBAN SUNZU

    Serikali yapiga marufuku matumizi ya kuni na mkaa kulisha watu zaidi ya 100

    Taasisi zetu hasa mashule na magereza zimejiandaaje na hili katazo?
  11. Stephano Mgendanyi

    Mbunge Cherehani: Tutumie Nishati ya Gesi Badala ya Kuni na Mkaa Ili Kulinda Mazingira

    Mbunge Cherehani: Tutumie Nishati ya Gesi Badala ya Kuni na Mkaa Ili Kulinda Mazingira Wananchi wilayani Kahama Mkoani Shinyanga wametakiwa kutumia nishati ya Gesi badala ya kutumia mkaa na kuni katika shughuli za mapishi ili kutunza na kulinda mazingira. Wito huo umetolewa na Mbunge wa jimbo...
  12. JanguKamaJangu

    Geita: Auawa kwa kupigwa risasi wakati akichanja kuni kwenye hifadhi

    Jeshi la Polisi mkoani Geita linawashikilia Askari wanne wa maliasili kwa tuhuma za kumpiga risasi na kumuua Semeni Hamisi (34), mkazi wa Kijiji cha Nyamigota, Kata ya Nyamigota, baada ya kukutwa ndani ya Hifadhi ya Msitu wa Samina akiokota kuni za matumizi ya nyumbani. Mkuu wa Wilaya ya Geita...
  13. Roving Journalist

    Mkurugenzi amsimamisha kazi Mwalimu aliyewatuma wanafunzi kupakia kuni zake wakapata ajali

    Mkurugenzi amsimamisha kazi Mwalimu aliyewatuma wanafunzi kupakia kuni zake wakapata ajali ya gari Njombe Mwalimu Furaha Msule anayefundisha shule ya Sekondari Kidegembye iliyopo Lupembe halmashauri ya wilaya ya Njombe amesimamishwa kazi kwa kosa la kuwachukua wanafunzi na kuwapeleka kupakia...
  14. GENTAMYCINE

    Yanga SC mnatoa Saa ngapi Silaha zenu Chamazi ili nasi Simba SC tuweke zetu ili Power Dynamos FC akione cha Mtema Kuni

    au kama vipi tuelekezeni tu hii Miguu ya Fisi na Kinyesi cha Nguruwe Pori tukavitupe wapi, kwani nasi tunataka Kufukia ya Paka na Mkojo wa Chatu Jike aliyetoka Kuzaa Jana tu Msituni Bagamoyo ili angalau Weekend hii Taifa lifurahi kwa Vijana wao wa Kariakoo na tusije Kuchekana.
  15. Hamza Nsiha

    Nini mbadala wa Nishati ya kuni katika kilimo cha tumbaku?

    Habari ndugu wana JamiiForums, nimekuwa nikijiuliza maswali kadhaa kuhusiana na jitihada za sekta yetu ya Nishati katika kuibua njia mbalimbali ambazo zimekuwa na tija katika utunzaji wa mazingira kama vile Makaa ya mawe, Gesi asilia n.k. Njia hizi zimeleta mapinduzi katika kuinua Tanzania ya...
  16. Wakili wa shetani

    Binadamu anaweza kutumika kama kuni?

    Habari. Naomba kuuliza kama binadamu anaweza waka moto na kutoa energy. Binadamu ana maji mengi, lakini kama umewahi choma tanuri utaona kwa wanatumia magogo mabichi na yanawaka vibaya mno. Binadamu anaweza waka kama gogo bichi? Ukizingatia ana mafuta ya kutosha kuchochea moto. Au inawezekana...
  17. Webbyllon

    Nahitaji wavuna mikaa na kuni tuongee biashara juu ya eneo langu

    Nina ShambaPori lenye ukubwa wa heka 100 lipo Gwata mkoa wa Pwani ambalo limejaa miti mikubwa sana hivyo natafuta maboss ambao watahitaji kuvuna mikaa na kuni tuongee biashara napatikana kwa namba 0743699500 for call/whatsapp.
  18. sky soldier

    Mwezi wa tatu huu vijana wa IT wanaojimwambafai kwa misamiati ya IT wameshindwa kuni hack kwa dau la laki 3, Maneno tu

    Ni vijana wa chuoni waliofunga vyuo na kwa sasa tupo nao, Wapo wanaosoma computer engineering, computer science, IT, ICT , n.k Ni vijana ambao mdomoni wapo vema sana kwa kujaa misamiati ila kwa vitendo ni sifuri. Wengine wameweka picha za wale hackers waliovaa ma pull over sura hazionekani...
  19. FORTUNE JR

    Nimevunja Ndoa ya Ex Wangu kisa kumchangia Damu. Mumewe kawa mbogo kaapa kuni surprise

    Wakuu habari zenu. Naomba ushauri wenu ili nipate kuruka kiunzi hiki mbele yangu na Maisha ya endelee kama kawaida bila kumdhuru au kumuumiza yoyote na mimi pia kua salama Wiki iliyopita nilipata taarifa Ex wang niliedumu nae takribani miaka 3 kwenye mahusiano yupo Taabani hospitali baada ya...
  20. H

    Watanzania milioni 60 tunaamka asubuhi kila siku tunakula chakula kinachopikwa kwa mkaa na kuni is a Terrible.Ni uharibifu mkubwa wa mazingira

    Weekend ikiwa inaishia nawasalim. Wakati mjadala wa bandari ukiendelea basi tusitingwe sana kiasi cha kusahau mambo mengine muhimu Ukiona unakula umeshiba ujue kuna mti umedondoka uko porini na kufanya idadi kupungua na kufanya nafasi tupu kuonekana ambayo hatutegemei kama itazibwa na mti...
Back
Top Bottom