kununiana

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Wanandoa kununiana mwisho inatakiwa kuwa siku ngapi?

    Wakuu,juzi kati wife aliniletea kidomo nikamlamba makofi. So tangu siku hiyo mpaka leo ni kama week ya pili kaninunia. Je kununiana inafaa kuwa mwisho siku ngapi?
  2. Chanzo cha kuchokana, kununiana katika mahusiano/ndoa na jinsi ya kukabiliana na tatizo hili

    Je unahisi umeshaanza kumchoka mmeo ama mkeo????!!!! Imeandikwa na Shams Elmi (Abu 'Ilmi) Takriban katika maisha ya wanandoa walio wengi kama sio wote, ndoa zao hupitia katika vipindi tofauti. Kama ulivyo umri wa Binadamu, ndoa hupitia katika kipindi cha utoto, ujana na uzee, na kila kipindi...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…