kunyimwa tendo la ndoa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. holoholo

    Mke wangu ananinyima unyumba, ni mwaka wa 2 sasa nifanyaje?

    Wakuu, Nilioa na nina miaka 7 kwenye ndoa, na tumejaliwa kupata watoto wawili. Mke wangu alibadilika kila nikimuomba unyumba ananiambia hataki, nimetumia njia nyingi kumshawishi akubali lakini anasema anaumwa, mara amechoka yani visingizio ni vingi ili mradi tu asifanye na mimi tendo la ndoa...
  2. Tripp

    Kaniita kwake mkoani nimefika amenichunia

    Habarini, Mwezi huu mwanzoni nilienda msibani Singida nikiwa uko nikamaliza kuzika kuna mdada nilikuwa naishi nae Dar akaenda Morogoro kwake kuishi na kutafuta maisha basi ikapita muda mpaka mwezi huu akaniomba niende kwake Moro na tulikuwa na mawasiliano mazuri tangu aondoke Dar sababu alienda...
  3. mapema

    Vijana ingieni kwenye ndoa lakini mjue yaliyopo ni kinyume kabisa na matarajio

    Nafurahi kufikisha mwaka wa 10 siku ya leo kwenye ndoa. Nilioa kwa vigezo vyote vya dini, yaani ile hakuna ngono kabla ya ndoa. Ilikuwa ngumu kidogo lakini kwa nguvu ya dini niliweza ingawa mwenzangu sikujua nyendo zake. Na kwa kiasi kikubwa maisha yangu ya ujana sikuruka sana kwa nia njema ya...
Back
Top Bottom