kuoa ama kuolewa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Kikao cha leo kinazungumzia kwanini hujaoa na kwanini huolewi

    KIKAO CHA LEO Kinazungumzia Kwanini Hujaoa Na kwanini Huolewi Kikao Kimeanza Karibu Kwa Maoni✍️
  2. Ushauri: Nataka kuoa mke kwa bajeti ya Tsh. Milioni 1

    Habari za humu wadau, mimi ni kijana wa umri wa miaka 27, mkazi wa jijini Dar es salaam. Nimepanga na nina kazi. Moja ya malengo yangu nikuwa ikifika mwisho mwa mwaka huu niwe tayari na mke au mtu nimemweka ndani. Sasa kutokana na ubize wa kazi zangu na aina ya mwanamke ninaye muhitaji naona...
  3. Kukosea kuoa ama kuolewa umeharibu maisha

    Wanajamvi natumai kwema kwa wote hata mimi pia. Naomba kuuliza huu msemo wa kukosea kuoa ama kuolewa umeharibu maisha; Kimtazamo umekaaje...? Mfano;Mimi nina mke 1, na mtoto 1, nina miaka 5 ktk ndoa na Umri wangu 33. Nimeona kila Dalili kua nimekosea kuoa. Ikitokea nimejiengua katika hii ndoa...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…