Hili ni jambo lenye thawabu kwa Mungu,tujitahidi kuwasaidia wanaotaka kuoana kwa kila hali.Fanya hivi:
1.Tengeneza orodha ya wanawake na wanaume ambao hawajaoa au kuolewa
2.Kila unaposikia kuna mwanamke au mwanaume anayetaka kuoa au kuolewa,jitahidi kuwakutanisha ili waongee
3.Saidia kila mtu...