Mawasiliano yawe direct hakuna haja ya kona kona, tamka maneno mawili, "NAOMBA FEDHA" ikiwepo utapewa kama hakuna tuangalie utaratibu mwengine
atasalimia kukujulia hali, kujua upo wapi, family inaendeleaje, n.k. lakini mwisho wa siku lengo lake ni moja tu, FEDHA !!
Hajakutafuta miaka na miaka...
Ilikuwa juzi majira ya saa 4 asubuhi nipo home, ikaingia message ya mshkaji mmoja hivi inasema "nina shida nisaidie 300k mpaka kufikia saa 1 night ntakuwa nishakutumia pesa yako"
Kuna pesa nilipanga nimtumie dogo langu yupo chuo huko, nikafikiria niiasema kwakuwa jamaa atarudisha night acha...
Wakuu people's
Yale majizi 👉 kidumu
Aisee nilikwenda duka moja kupata huduma nikamkuta mdada mmoja tukazungumza hapa na pale nikaomba namba basi tukaanza mawasiliano na nikamuweka wazi kwamba nimempenda na akanielewa.
Akaanza kunishirikisha mambo yake kwamba alikuwa na mume wametengana sababu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.