kuomba pesa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. G

    Kero: Ndugu, marafiki na jamaa wanaanza kukutafuta baada ya kutoboa, ni kwanini hawapo direct kuomba pesa wakati uhusiano wenu ni wa maslahi pekee?

    Mawasiliano yawe direct hakuna haja ya kona kona, tamka maneno mawili, "NAOMBA FEDHA" ikiwepo utapewa kama hakuna tuangalie utaratibu mwengine atasalimia kukujulia hali, kujua upo wapi, family inaendeleaje, n.k. lakini mwisho wa siku lengo lake ni moja tu, FEDHA !! Hajakutafuta miaka na miaka...
  2. Abby Uladu

    Kama hajakwambia shida inayomfanya akuombe pesa usimpe

    Ilikuwa juzi majira ya saa 4 asubuhi nipo home, ikaingia message ya mshkaji mmoja hivi inasema "nina shida nisaidie 300k mpaka kufikia saa 1 night ntakuwa nishakutumia pesa yako" Kuna pesa nilipanga nimtumie dogo langu yupo chuo huko, nikafikiria niiasema kwakuwa jamaa atarudisha night acha...
  3. Choosen85

    Baadhi ya wadada huwa mnawapoteza watu wa kuwasaidia sababu ya njaa zenu

    Wakuu people's Yale majizi 👉 kidumu Aisee nilikwenda duka moja kupata huduma nikamkuta mdada mmoja tukazungumza hapa na pale nikaomba namba basi tukaanza mawasiliano na nikamuweka wazi kwamba nimempenda na akanielewa. Akaanza kunishirikisha mambo yake kwamba alikuwa na mume wametengana sababu...
Back
Top Bottom