kuondoa umasikini

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Abraham Lincolnn

    Huyu ndiye kiongozi na mgombea tunayetegemea atumie 'Neoclassical economics' na adadavue 'Complex Economic Boost Projects' Kuondoa umasikini Tanzania

    Huyu ndiye kiongozi ambaye wananchi wa Huko Kilongosi Mtwara, Wanamtegemea atumie akili yake kuinua sekta ya Viwanda na Kutafuta masoko ndani na nje ya nchi ili wauze korosho zao Huyu Ndiye Mgombea ambaye wanafunzi wanaokaa chini kwa kukosa madawati, Wanamtegemea achacharike kufanya transformed...
  2. R

    Kwanini serikali haiwezi kuchapisha hela nyingi na kuwagawia watu ili kuondoa umasikini? Hii hapa elimu kidogo

    Karibu kila mtu amewahi kujiuliza swali hili. Kwa nini serikali isi-print fedha nyingi na kuwagawia wananchi ili waondokane na umasikini? Ni kweli, kila nchi ina uhuru wa kuamua ichapishe kiasi gani cha fedha na kukiingiza kwenye uchumi, ama tuite mizunguko ya fedha. Lakini kama tunataka...
Back
Top Bottom