Huyu ndiye kiongozi ambaye wananchi wa Huko Kilongosi Mtwara, Wanamtegemea atumie akili yake kuinua sekta ya Viwanda na Kutafuta masoko ndani na nje ya nchi ili wauze korosho zao
Huyu Ndiye Mgombea ambaye wanafunzi wanaokaa chini kwa kukosa madawati, Wanamtegemea achacharike kufanya transformed...
Karibu kila mtu amewahi kujiuliza swali hili.
Kwa nini serikali isi-print fedha nyingi na kuwagawia wananchi ili waondokane na umasikini?
Ni kweli, kila nchi ina uhuru wa kuamua ichapishe kiasi gani cha fedha na kukiingiza kwenye uchumi, ama tuite mizunguko ya fedha.
Lakini kama tunataka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.