Bosi wa lebo ya muziki wa WCB Wasafi Diamond Platnumz amethibitisha Mbosso kuondoka rasmi chini ya lebo hiyo na kuwa msanii huru ambaye anajitegemea mwenyewe kisanaa.
Soma: Diamond afafanua ishu ya Mbosso kuondoka WCB
Akimwelezea kutokana na ukarimu na heshima ya Mbosso kipindi chote wakiwa...