kuongea kiswahili

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Friedrich Nietzsche

    Uganda sasa Kuongea kiswahili rasimu: Kalibu wagand kwene mtanange wa the Titans of East Africa!

    Waganda sas wametangaza kuanza kuongea kiswahili na kuiacha lugha yao ya kikabila https://youtu.be/UKg4ZWlxKCI?si=9c_kWE1a5lZm8Mgl Karibu sasa rasmi:
  2. Mwamuzi wa Tanzania

    Mkasome vitabu vya Kiswahili darasa la pili mpaka darasa la nne ili muweze kuandika na kuongea vizuri

    Hongera kwa watunzi wa vitabu, hongera kwa wahakiki . Vitabu vile vya Lugha ya Kiswahili darasa la pili mpaka darasa la nne vinatosha kabisa kufanya kumfanya mtu ajue kuzungumza na kuandika Kiswahili fasaha. Nyie ambao mnatia aibu hebu nendeni mkatafute hivyo vitabu viwatoe tongotongo. Ni...
  3. G

    Nimethibitisha jamii inayoongea Kiingereza ina uelewa mkubwa na IQ za juu kulinganisha na waongeaji wa Kiswahili

    Nchi zote tatu za Afrika Mashariki, Uganda, Kenya na Tanzania zilitawaliwa na mkoloni mmoja kwa wakati mmoja. Waganda na wakenya wao lugha wanayotumia na kuimiliki ni Kiingereza na Tanzania ni waongeaji wazuri wa kiswahili tu, yaani waswahili. Lugha ina tabia ya kuendana na utamaduni wake...
Back
Top Bottom